Skip to main content

Fahamu Kuhusu Matibabu, Kinga na Makundi Maalumu Yanayostahili Kinga ya Hepatitis A.


MATIBABU YAKE (HAV). 

Ugonjwa kufuata njia bora za usafi kwa kunawa mikono kabla ya kula na baada ya kutoka chooni, kuosha mboga na matunda kabla ya kuyatumia, kupika vizuri mboga za majani na vyakula vingine kama samaki nk. Na mwisho ni kupata chanjo yake.tuzingatie pia usafi mashuleni, magerezani, makanisani, misikitini, day care ceners nk.

Huu unaisha wenyewe na hauhitaji matibabu ya aina yeyote.ikitokea ukawa unahitaji dawa ni za kudhibiti dalili ulizo nazo tu (supportive treatments). 

Jueni ya kwamba mgonjwa anapona kabisa ndani ya miezi 6 na anakua hana shida yeyote kama madhara ya HAV, ndo uzuri Wa kirusi hiki hua sio mbaya kama wenzake. 

NAMNA YA KUJIKINGA 
Njia kuu ya kujikinga na haya maambukizi ni kufuata njia bora za usafi kwa kunawa mikono kabla ya kula na baada ya kutoka chooni,kuosha mboga na matunda kabla ya kuyatumia, kupika vizuri mboga za majani na vyakula vingine kama samaki nk. na mwisho ni kupata chanjo yake, tuzingatie pia usafi mashuleni magerezani, makanisani, misikitini,day care ceners nk.

BAADHI YA MAKUNDI YANAYOHITAJI CHANJO NI:- 
1) Kupata chanjo dhidi ya kirusi hepatitis A(HAV) kwa watoto wote wenye umri Zaidi ya miezi 12. 
2) Kupata chanjo dhidi ya kirusi hepatitis A(HAV) kwa wabugia unga 
3) Kupata chanjo dhidi ya kirusi hepatitis A(HAV) kwa wanajeshi 
4) Kupata chanjo dhidi ya kirusi hepatitis A(HAV) kwa wafungwa. 
5) Makahaba, na mashoga 

 MAKUNDI MAALUMU YANAYOHITAJI CHANJO NI: - 
1) Wale wanofanya kazi day care centers. 
2) Wale wanaofanya kazi za manispaa kama majitaka, usafi nk 
3) Watoto chini ya miezi 12 
4) Wafanyakazi wa afya 
5) Mama lishe

Comments

Popular posts from this blog

Kiungulia kwa Mama Mjamzito.

  Kiungulia ni tatizo linalosumbua idadi kubwa ya wanawake wakati wa ujauzito. Tatizo hili hutojikeza kwa mara ya kwanza wakati wa ujauzito kwa baadhi ya wanawake. Kiungulia husababishwa na asidi (tindikali) kumwagika kwenye koo la chakula kutoka kwenye tumbo la chakula. Kuna sababu nyingi zinazofanya Wajawazito kupata kiungulia mara kwa mara kuliko wanawake ambao sio wajawazito. Sababu hizo ni pamoja na Mabadiliko ya homoni yanayojitokeza wakati wa ujauzito pia mfuko wa uzazi kusukuma tumbo la chakula husababisha asidi kurudi kwenye koo la chakula Nini ufanye kuondoa au kupunguza kiungulia Tazama unachokula vyakula vyenye tindikali na vile vichachu ni chanzo cha asidi nyingi tumboni. Punguza vyakula na matunda machachu, nyanya, vitunguu maji, kahawa na chai nyeusi, chokleti, soda ,tangawizi na vyakula vilivyokaangwa kama chips. Kula Mara nyingi kidogo kidogo  badala ya kula milo mikubwa mitatu katika siku Unapokula hakikisha unakaa ukiwa umenyooka  usijipinde, itasa...

The Psychological Effect of Viral Hepatitis: Understanding the Emotional Impact

  Viral hepatitis is a global health concern affecting millions of people around the world. While the physical symptoms and medical implications of this infectious disease are widely discussed, the psychological impact often goes unnoticed. In this blog post, we will delve into the lesser-known aspect of viral hepatitis — its profound psychological effects on individuals. By shedding light on these emotional ramifications, we aim to raise awareness and promote a better understanding of the holistic impact of this condition. Fear and Anxiety: Being diagnosed with viral hepatitis can trigger intense fear and anxiety in individuals. The uncertainty surrounding the disease, its progression, and potential complications can create a sense of impending doom. The fear of transmitting the infection to loved ones or facing social stigma further exacerbates emotional distress. As a result, individuals may experience heightened anxiety, panic attacks, and a constant state of worry, impacting t...