Hapa swali kubwa kabisaa linaulizwa ni kitu gani mtu mwenye Homa ya ini hatakiwi kutumia? Kabla sijataja vitu hivo nawakumbusha tu kua "kua karibu na Mungu". kuna mambo mengi mnoo ya kutokufanya kama mtu unaugojwa wa ini, kiasi ambacho tukikwambia kila kitu utakata tamaa, lakini leo tunakupa mambo matatu tu yakutokufanya na hapa ni kwa maana njema ya kuilinda afya na mwonekano wa mwili wako.
Haya sasa1. Achana kabisaa na nyama nyekundu yaani ya mbuzi, ya ng'ombe na wanyama wa porini. wazee wa zamani nyama hawakula fresh meat, walikua wanabanika inakauka ili kutoa maji na sumu kwenye hiyo nyama. vijana wa leo tunaweza tunajivunia kula vizuri lakini tunakula sumu nyningi sana bila kujua, acha kula nyama nyekundu.
2. Vinywaji kama vile Pombe na vitu vyenye asili ya pombe namanisha pombe yenyewe na wine, soda na energy drinks acha kabisaa
3. Punguza kufanya tendo la ndoa. Hasa wanaume Kama umeoa punguza kwa maana ya kwamba kuna siku zingine "kichwa cha nyumba" kitoe story mpka kuna kucha😂 au basi unakua ni usiku wa injili na kusoma Quran mpka kunakucha😂
Kama hujaoa ndo basi kabisaa ACHA, si kwa maana kua nataka nikufanye mtakatifu saana isipokua wanaume wanatumia nguvu nyingi kwenye tendo hilo, hivo kuitunza nguvu hiyo kwa ajili ya mwili wako kuweza kujilinda zaidi ni vizuri.
Singles pia kuacha hili ni kuwalinda wengine pia wasiojua wala hawana uelewa juu ya huu ugonjwa. usijifanye hujui kua unaweza kumwambukiza mtu, na ikitokea uko kwenye mahusiano basi hakikisha mwenzi wako anapata chanjo kwa haraka sana hii itakupunguzia kukaa kuwaza utamwambukiza ama lah!.
Note: Sijasema msifanye, maana ake shemeji zangu sasa mnaweza igeuza sababu hii, ila kutokufanya nako ni bora zaidi.
Ukiamua kufanya we fanya na kisha asubuhi upate supu ya kuku na mboga za majani nyingi sana sio supu ya ng'ombe na huyo kuku awe wa kienyeji😂
Kuna mtu atasema mbona masharti mengi sasa, sisi tunaamini kua ni kwa faida yako na kila hii changamoto ni vizuri ukala na kutumia vutu vyenye alkaline kubwa kama huvijui basi tumia google kuvitafuta.
Comments
Post a Comment