Kwanza naanza Kwa kutoa hongera Kwa wote wanao ishi na wenzi wao wenye maambukizi.
Pili naelewa ilivyo changamoto Kwa mwanaume kumweleza mke kua anachangamoto hii, ni kutokana na wanawake wengi kujua kua kupata hepatitis inatokana na kuchepuka tu na Hali hii ni tofauti Kwa yeye mke anaweza tumia kigezo Cha wakati wa kujifungua. Lakini ukweli ni kwamba Kila mtu Yuko kwenye hatari ya kupata maambuki mpka tu uchanje.
MISINGI YA NDOA
Wakati wa kufunga ndoa Kuna kiapo japo hatuishi Kwa kiapo tunaishi Kwa Upendo. MISINGI ya ndoa ni kuvumiliana, kusameheana, kupendana, kushauriana na kulekebishana na SI kusimangana, kufukuzana, kutengana wala kuvulugana.
Kipimo Cha Imani; MAJARIBU..
Sasa inapotokea Kati yenu ana homa ya ini zingatia MISINGI ya ndoa na kipimo Cha Imani, yaani huwezi kujua unampenda kiasi Gani mpka utakapojaribiwa na kubaki kwenye Msingi wa kuvumiliana... Umenielewa ??
Ni hivi...Kama mtu amepata hii changamoto uko nae then akuambie kua anahili tatizo na uamue kumwacha basi jua kabisaa kwamba hata kama uliwahi kutamka "I love you "x1000 basi zinakua Haina maana.
kingine ni kwamba ukimkuta mwenza wako anatatizo na wewe ni mzima we mshukru Mungu tu maana hata wewe hukua na ujanja wa kulikwepa ila Mungu tu. Na pengine ukipata hii shida baada ya kujua pengine Hofu Yako ndo itakua imekupelekea kupata.
Sasa, mkishajua MWENZI wako ana tatizo basi nenda kapime Kisha Anza chanjo huku mkichukua tahadhari ya namna ya kushiriki tendo la ndoa Kwa maana ya kutumia Kinga katika kipindi Cha wewe ukiwa unapata chanjo na baada ya hapo maisha yanarudi kawaida kufurahia unganiko lenu katika nyama😊.
Hili jaribu mkilivuka Kwa kusimama nae, baada ya hapo MWENZI wako atakuheshimu mnoo na niamini Mimi kwamba atakupenda mno labda tu awe mjinga mjinga.
Asante.
Kipimo Cha Imani; MAJARIBU..
Sasa inapotokea Kati yenu ana homa ya ini zingatia MISINGI ya ndoa na kipimo Cha Imani, yaani huwezi kujua unampenda kiasi Gani mpka utakapojaribiwa na kubaki kwenye Msingi wa kuvumiliana... Umenielewa ??
Ni hivi...Kama mtu amepata hii changamoto uko nae then akuambie kua anahili tatizo na uamue kumwacha basi jua kabisaa kwamba hata kama uliwahi kutamka "I love you "x1000 basi zinakua Haina maana.
kingine ni kwamba ukimkuta mwenza wako anatatizo na wewe ni mzima we mshukru Mungu tu maana hata wewe hukua na ujanja wa kulikwepa ila Mungu tu. Na pengine ukipata hii shida baada ya kujua pengine Hofu Yako ndo itakua imekupelekea kupata.
Sasa, mkishajua MWENZI wako ana tatizo basi nenda kapime Kisha Anza chanjo huku mkichukua tahadhari ya namna ya kushiriki tendo la ndoa Kwa maana ya kutumia Kinga katika kipindi Cha wewe ukiwa unapata chanjo na baada ya hapo maisha yanarudi kawaida kufurahia unganiko lenu katika nyama😊.
Hili jaribu mkilivuka Kwa kusimama nae, baada ya hapo MWENZI wako atakuheshimu mnoo na niamini Mimi kwamba atakupenda mno labda tu awe mjinga mjinga.
Asante.
Comments
Post a Comment