Skip to main content

DALILI 13 ZA MTU MWENYE HOMA YA INI (CHRONIC VIRAL HEPATITIS)

 

HATUA YA PILI YA MAAMBUKIZI YA HBV NA YA MUDA MREFU (CHRONIC HEPATITIS B HBV)


Hii ndio hatua ambayo wagonjwa wengi huanza kuonyesha dalili kubwa ama madhara makubwa yatokanayo na maambukizi ya HBV. Katika hatua hii mgonjwa anakua ameshapata madhara makubwa na ya kudumu,yaani mgonjwa anakua anaumwa kwelikweli.Ikumbukwe kuna baadhi ya watu hawaoni dalili yoyote kwa hiyo wanakuja kujishtukia wameshapata madhara makubwa kama kufeli kwa ini,magonjwa ya figo,kuharibika kwa mishipa ya damu,saratani ya ini na KIFO..
Hatua hii inajumuisha madhara yahusishayo ini lenyewe (intrahepatic manifestations) na madhara yahusuyo sehemu zingine za mwili tofauti na ini(extra hepatic manifestations), baadhi ya madhara hayo ni ugonjwa wa figo(glomerular disease) na kuharibika/kushambuliwa kwa mishipa mingi ya damu katika mwili(polyarteritis nodosa)
Baadhi ya dalili zionekanazo katika hatua hii ni :- 1) Kichefuchefu(nausea)

2)Kutapika(vomiting)

3) Kuishiwa ham ya kula(anorexia)

4)Homa(fever)

5)Manjano(jaundice)

6)Kuwashwa(pruritis)

7)kukonda sana(cachexia)

8)kuota matiti kwa wanaume(gynecomastia)

9)Kuvimba tumbo (abdominal distension)

10)Maji kujaa tumboni(ascites)

12)kutapika damu(hematemesis)

13)Kuchanganyikiwa na kupoteza fahamu

ikumbukwe kuna baadhi ya mambo ambayo yanapelekea mtu kupata dalili hizo hapo juu mapema na kali,kama mtu ni MLEVI, MTUMIA MADAWA, MWENYE HIV, KISUKARI, MAGONJWA MENGINE YA MUDA MREFU KAMA SARATANI NK, KUA UMEAMBUKIZWA VIRUSI WENGINE KAMA HCV AU HDV.Hivi vitu vikiwepo basi hali na matarajio ya mgonjwa yanakua mabaya(worse prognosis).

Comments

Popular posts from this blog

Fahamu Kuhusu Matibabu, Kinga na Makundi Maalumu Yanayostahili Kinga ya Hepatitis A.

MATIBABU YAKE (HAV).  Ugonjwa kufuata njia bora za usafi kwa kunawa mikono kabla ya kula na baada ya kutoka chooni, kuosha mboga na matunda kabla ya kuyatumia, kupika vizuri mboga za majani na vyakula vingine kama samaki nk. Na mwisho ni kupata chanjo yake.tuzingatie pia usafi mashuleni, magerezani, makanisani, misikitini, day care ceners nk. Huu unaisha wenyewe na hauhitaji matibabu ya aina yeyote.ikitokea ukawa unahitaji dawa ni za kudhibiti dalili ulizo nazo tu (supportive treatments).  Jueni ya kwamba mgonjwa anapona kabisa ndani ya miezi 6 na anakua hana shida yeyote kama madhara ya HAV, ndo uzuri Wa kirusi hiki hua sio mbaya kama wenzake.  NAMNA YA KUJIKINGA  Njia kuu ya kujikinga na haya maambukizi ni kufuata njia bora za usafi kwa kunawa mikono kabla ya kula na baada ya kutoka chooni,kuosha mboga na matunda kabla ya kuyatumia, kupika vizuri mboga za majani na vyakula vingine kama samaki nk. na mwisho ni kupata chanjo yake, tuzingatie pia usafi mashuleni mag...

Kiungulia kwa Mama Mjamzito.

  Kiungulia ni tatizo linalosumbua idadi kubwa ya wanawake wakati wa ujauzito. Tatizo hili hutojikeza kwa mara ya kwanza wakati wa ujauzito kwa baadhi ya wanawake. Kiungulia husababishwa na asidi (tindikali) kumwagika kwenye koo la chakula kutoka kwenye tumbo la chakula. Kuna sababu nyingi zinazofanya Wajawazito kupata kiungulia mara kwa mara kuliko wanawake ambao sio wajawazito. Sababu hizo ni pamoja na Mabadiliko ya homoni yanayojitokeza wakati wa ujauzito pia mfuko wa uzazi kusukuma tumbo la chakula husababisha asidi kurudi kwenye koo la chakula Nini ufanye kuondoa au kupunguza kiungulia Tazama unachokula vyakula vyenye tindikali na vile vichachu ni chanzo cha asidi nyingi tumboni. Punguza vyakula na matunda machachu, nyanya, vitunguu maji, kahawa na chai nyeusi, chokleti, soda ,tangawizi na vyakula vilivyokaangwa kama chips. Kula Mara nyingi kidogo kidogo  badala ya kula milo mikubwa mitatu katika siku Unapokula hakikisha unakaa ukiwa umenyooka  usijipinde, itasa...

The Psychological Effect of Viral Hepatitis: Understanding the Emotional Impact

  Viral hepatitis is a global health concern affecting millions of people around the world. While the physical symptoms and medical implications of this infectious disease are widely discussed, the psychological impact often goes unnoticed. In this blog post, we will delve into the lesser-known aspect of viral hepatitis — its profound psychological effects on individuals. By shedding light on these emotional ramifications, we aim to raise awareness and promote a better understanding of the holistic impact of this condition. Fear and Anxiety: Being diagnosed with viral hepatitis can trigger intense fear and anxiety in individuals. The uncertainty surrounding the disease, its progression, and potential complications can create a sense of impending doom. The fear of transmitting the infection to loved ones or facing social stigma further exacerbates emotional distress. As a result, individuals may experience heightened anxiety, panic attacks, and a constant state of worry, impacting t...