Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2022

Hawa Hapa Maadui 3 Wakubwa wa Homa ya Ini.

Hapa swali kubwa kabisaa linaulizwa ni kitu gani mtu mwenye Homa ya ini hatakiwi kutumia?  Kabla sijataja vitu hivo nawakumbusha tu kua "kua karibu na Mungu". kuna mambo mengi mnoo ya kutokufanya kama mtu unaugojwa wa ini, kiasi ambacho tukikwambia kila kitu utakata tamaa, lakini leo tunakupa mambo matatu tu yakutokufanya na hapa ni kwa maana njema ya kuilinda afya na mwonekano wa mwili wako.  Haya sasa 1. Achana kabisaa na nyama nyekundu yaani ya mbuzi, ya ng'ombe na wanyama wa porini. wazee wa zamani nyama hawakula fresh meat, walikua wanabanika inakauka  ili kutoa maji na sumu kwenye hiyo nyama. vijana wa leo tunaweza tunajivunia kula vizuri lakini tunakula sumu nyningi sana bila kujua, acha kula nyama nyekundu. 2. Vinywaji kama vile Pombe na vitu vyenye asili ya pombe namanisha pombe yenyewe na wine, soda na energy drinks acha kabisaa  3. Punguza kufanya tendo la ndoa. Hasa wanaume Kama umeoa punguza kwa maana ya kwamba kuna siku zingine "kichwa cha nyumba" ...

UTAFANYA NINI UKIGUNDUA KUA MWENZI/MPENZI WAKO ANA MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI?

Kwanza naanza Kwa kutoa hongera Kwa wote wanao ishi na wenzi wao wenye maambukizi. Pili naelewa ilivyo changamoto Kwa mwanaume kumweleza mke kua anachangamoto hii, ni kutokana na wanawake wengi kujua kua kupata hepatitis inatokana na kuchepuka tu na Hali hii ni tofauti Kwa yeye mke anaweza tumia kigezo Cha wakati wa kujifungua. Lakini ukweli ni kwamba Kila mtu Yuko kwenye hatari ya kupata maambuki mpka tu uchanje. MISINGI YA NDOA Wakati wa kufunga ndoa Kuna kiapo japo hatuishi Kwa kiapo tunaishi Kwa Upendo. MISINGI ya ndoa ni kuvumiliana, kusameheana, kupendana, kushauriana na kulekebishana na SI kusimangana, kufukuzana, kutengana wala kuvulugana. Kipimo Cha Imani; MAJARIBU.. Sasa inapotokea Kati yenu ana homa ya ini zingatia MISINGI ya ndoa na kipimo Cha Imani, yaani huwezi kujua unampenda kiasi Gani mpka utakapojaribiwa na kubaki kwenye Msingi wa kuvumiliana... Umenielewa ?? Ni hivi...Kama mtu amepata hii changamoto uko nae then akuambie kua anahili tatizo na uamue kumwacha basi jua ...

Jinsi Wanajeshi/Askari Wanavyoambukizwa Homa ya Ini.

  Pamoja na uzuri wa kazi hii na majukumu ya jeshi lolote katika nchi kua ni mhimu sana katika kuhakikisha usalama wa nchi, lakini kundi hili ni moja ya makundi sensitive kwenye ugonjwa wa hepatitis. Kutokana na mazingira ya kazi yao kua ni mazoezi yanayotoa jasho, kupata michubuko na kuishi kwa pamoja kwa wingi inawaweka kwenye hatari ya hepatitis kuenea kwa kasi endapo tu kuna mmoja kati yao ameathirika. Na endapo akigundurika kua na shida hii mwanajeshi huzikosa fursa nyingi mnoo kiasi ambacho anaweza kuona hamna umaana wa kua mwanajeshi kwani mda wote atahesabika kua ni mgonjwa. HASARA ANAZOZIPATA MWANAJESHI AU ASKARI BAADA YA KUPATA MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI 1. Hawezi kwenda kusoma course. 2. Hawezi kwenda nje ya nchi kwenye majukumu ya kikazi. 3. Hawezi kufanyishwa mazoezi makali ya kumpanua uwezo wake.   Itoshe kusema anakuwepo tu yani, anakua mwanajeshi jina tu, na kwa kua wanajeshi wengi wanapenda kazi zao na fursa walizonazo basi ikitokea kakosa hizo fursa kisai...

Fahamu Kuhusu Matibabu, Kinga na Makundi Maalumu Yanayostahili Kinga ya Hepatitis A.

MATIBABU YAKE (HAV).  Ugonjwa kufuata njia bora za usafi kwa kunawa mikono kabla ya kula na baada ya kutoka chooni, kuosha mboga na matunda kabla ya kuyatumia, kupika vizuri mboga za majani na vyakula vingine kama samaki nk. Na mwisho ni kupata chanjo yake.tuzingatie pia usafi mashuleni, magerezani, makanisani, misikitini, day care ceners nk. Huu unaisha wenyewe na hauhitaji matibabu ya aina yeyote.ikitokea ukawa unahitaji dawa ni za kudhibiti dalili ulizo nazo tu (supportive treatments).  Jueni ya kwamba mgonjwa anapona kabisa ndani ya miezi 6 na anakua hana shida yeyote kama madhara ya HAV, ndo uzuri Wa kirusi hiki hua sio mbaya kama wenzake.  NAMNA YA KUJIKINGA  Njia kuu ya kujikinga na haya maambukizi ni kufuata njia bora za usafi kwa kunawa mikono kabla ya kula na baada ya kutoka chooni,kuosha mboga na matunda kabla ya kuyatumia, kupika vizuri mboga za majani na vyakula vingine kama samaki nk. na mwisho ni kupata chanjo yake, tuzingatie pia usafi mashuleni mag...

The Interpretation of Hepatitis Viral Load Test.

What is HBV Quant.? Hepatitis B Virus - Viral Load, Quantitative test assesses the level of viral infection in the body. It measures the amount of viral DNA in the blood during the infection. Generally, this test is recommended to check the efficacy of hepatitis B treatment. Hepatitis B virus spreads mainly through body fluids or unsafe sexual intercourse. Mostly the symptoms of infection fade on their own after 4-8 weeks. However, in some cases, uncontrolled levels of HepB viral load can lead to chronic hepatitis infection and liver cirrhosis. Why is HBV Quant. done? The Hepatitis B Virus - Viral Load, Quantitative test is done: For the management of patients with chronic hepatitis B infection and currently on antiviral therapy For the diagnosis of hepatitis B for baseline values and during the course of therapy to assess the treatment response. What does HBV Quant. Measure? The Hepatitis B Virus - Viral Load, Quantitative test measures the amount of hepatitis B in a blo...